BREAKING: Manara na Ahmed ally Waingia kwenye Vita Kali kisa penati ya simba|“na nyie mmebebwa sana"
BREAKING: Manara na Ahmed ally Waingia kwenye Vita Kali kisa penati ya simba|“na nyie mmebebwa sana"
msemaji wa klabu ya yanga haji sunday manara pamoja na msemaji wa simba ahmed ally wameingia kwenye sitofahamu baada ya wawili hao kuanza kupondana kwa maneno kufuatia tukio la simba kupewa penati katika mchezo wao dhidi ya prisons
aidha msemaji wa simba ahmed ally amejibu kejeli za haji manara kwa kukumbushia matukio ambayo yalionesha yanga kupewa penati ambazo sio za halali hivyo kupelekea watu hap kuingia kwenye vita kali ya maneno ... https://www.youtube.com/watch?v=bzv_WaNlock
BONYEZA LINK ? https://play.google.com/store/apps/details?id=com.habari.kwanza kudownload application ya Habari Kwanza sasa uwe wakwanza kupata habari, matukio na taarifa zote muhimu.
...
https://www.youtube.com/watch?v=ZmhZs7ilEWE
Habari Kwanza imepiga story na mlinzi wa Makaburi ya Makanyagio mkoani Iringa na kuyajibia hayo na mengine mengi.
Usiahau kusubscribe na kuacha maoni yako kwenye comment section.
Maoni na Ushauri wasiliana nasi kupitia WhatsApp
...
https://www.youtube.com/watch?v=TTySCxZBDPQ
Pambano kati ta Karim Mandonga na Shabani Kaoneka hapo jana umeisha baada ya Mandoka kupigwa TKO katika round ya nne lakini kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu Mandonga kupoteza pambano hilo huku uchawi ukuhusishwa hii ni baada ya kupoteza mechi zote mbili.Habari kwanza tumekuletea mpambano huu nini kimejificha nyuma ya pambano hili.
...
https://www.youtube.com/watch?v=n42N5UDEKdk
DUUH!! ITAKUTOA MACHOZI: Russia Wauvamia Mji Mkubwa Huko Ukraine | Mamia Wajeruhiwa | "Putin Unafanya Ugaidi " Raisi Ukraine
Raisi wa urusi/ russia Vladimir putin bado anaonekana kutokuwa na roho ya huruma hata kidogo baada yakuongeza majeshi ambayo yanazidi kuvamia mji wa ukraine na kufanya urushaji wa makombora na nuclear za hatari zaidi putin hana huruma watu mbalimbali wameuwawa na wachache wamejeruhiwa katika miji mbalimbali
Russia wameiteka miji mbalimbali ya ukraine ambayo ni kyiv bila kusahau mji wa kharkiv miji ambayo hali yake ya usalama sio nzuri hadi sasa huku raisi wa ukraine bado hajaonesha kama kuna dalili yoyote ya makubaliano
...
https://www.youtube.com/watch?v=AIuBSnVODqM